Lyrics
Font size:
[1]
Dunia inatetemeka, dunia inayumbayumba
Dunia imeharibika, oo, kabisa
Hata ipabwe kwa gharama, x2
Hata ipabwe kwa sayansi
Ime-haribika. x2
Kama vile nguo inavyo-anza kupasukapasuka,
ndiyo mwanzo wake kuisha, oo! yachakaa. x2
[2]
Watu wengi wayumbayumba, wamekamatwa na Shetani,
Wamemuasi Bwana Mungu wame-haribika.
Dunia inatetemeka, dunia inayumbayumba
Dunia imeharibika, oo, kabisa
Hata ipabwe kwa gharama, x2
Hata ipabwe kwa sayansi
Ime-haribika. x2
Kama vile nguo inavyo-anza kupasukapasuka,
ndiyo mwanzo wake kuisha, oo! yachakaa. x2
[2]
Watu wengi wayumbayumba, wamekamatwa na Shetani,
Wamemuasi Bwana Mungu wame-haribika.
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.