Lyrics
Font size:
[1]
Ninakushukuru Bwana
Kwani uliniokoa
Vile ulinisafisha
Niwechombo chako safi
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[2]
Chombo tupu unilishe
Na baraka zako kubwa
Mito ya maji ya uzima
Itatoka ndani yangu
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[3]
Sina nguvu ila yako
Ndiye Roho Yako Mungu
Uyalishe na uwezo
Niwe mshuhuda wako
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[4]
Mimi chombo cha udongo
Utukuzwe ndani yangu
Ulininunua Bwana
Niikale mali yako
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
Ninakushukuru Bwana
Kwani uliniokoa
Vile ulinisafisha
Niwechombo chako safi
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[2]
Chombo tupu unilishe
Na baraka zako kubwa
Mito ya maji ya uzima
Itatoka ndani yangu
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[3]
Sina nguvu ila yako
Ndiye Roho Yako Mungu
Uyalishe na uwezo
Niwe mshuhuda wako
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
[4]
Mimi chombo cha udongo
Utukuzwe ndani yangu
Ulininunua Bwana
Niikale mali yako
[chorus]
Chombo chako Bwana Yesu
Niko mikononi mwako
Uyalishe utumie
Kila siku kila saa
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.