Lyrics
Font size:
[1]
Bwana Mungu alisema na Nuhu
Akamwambia Nuhu fanyiza safina. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[2]
Vishike viumbe vya aina zote
Nuhu sikia uviingize safinani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[3]
Siku ya mwisho mvua ikanyesha
Muda wa siku arobaini duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[4]
watu wote duniani walikufa
Hata wanyama na wadudu duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[5]
Bwana yesu mwokozi alisema
Tubuni dhambi tusiangamie na sisi. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
Bwana Mungu alisema na Nuhu
Akamwambia Nuhu fanyiza safina. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[2]
Vishike viumbe vya aina zote
Nuhu sikia uviingize safinani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[3]
Siku ya mwisho mvua ikanyesha
Muda wa siku arobaini duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[4]
watu wote duniani walikufa
Hata wanyama na wadudu duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[5]
Bwana yesu mwokozi alisema
Tubuni dhambi tusiangamie na sisi. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.