Lyrics
Font size:
[1]
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Taabu zako upatazo, hata na subira yako.
[CHORUS]
Lakini ninalo neno juu yako, kwamba
Umeacha upendo wa kwanza, kumbuka
Ulipoanguka, basi sasa ukatubu.
[2]
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Hu baridi wala moto, basi sasa ukatubu.
[3]
Kama huwezi kutubu, nitakuja na kuiondoa,
Taji yako ya uzima, usiingie Mbinguni.
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Taabu zako upatazo, hata na subira yako.
[CHORUS]
Lakini ninalo neno juu yako, kwamba
Umeacha upendo wa kwanza, kumbuka
Ulipoanguka, basi sasa ukatubu.
[2]
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Hu baridi wala moto, basi sasa ukatubu.
[3]
Kama huwezi kutubu, nitakuja na kuiondoa,
Taji yako ya uzima, usiingie Mbinguni.
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.