BWANA MUNGU

Song Lyrics

BWANA MUNGU

Nyimbo Za Umoja · Swahili
Present

Lyrics

Font size:
[1]
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Taabu zako upatazo, hata na subira yako.

[CHORUS]
Lakini ninalo neno juu yako, kwamba
Umeacha upendo wa kwanza, kumbuka
Ulipoanguka, basi sasa ukatubu.

[2]
Bwana Mungu anasema, “nayajua mambo yako yote,”
Hu baridi wala moto, basi sasa ukatubu.

[3]
Kama huwezi kutubu, nitakuja na kuiondoa,
Taji yako ya uzima, usiingie Mbinguni.

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee