Lyrics
Font size:
[1]
Bwana mmoja aliwapa
Watumwa wake talanta,
Bwana huyo kasafiri
Kwenda mbali, muda wa
Siku si nyingi Bwana
Huyo akarudi, akaja toa hesabu.
[chorus]
Wa kwanza nilimpa tano,
“Pokea tano Bwana tena.”
Wapili nilimpa mbili,
“Pokea mbili Bwana tena.”
Wa tatu nilimpa moja,
“Bwana, Bwana nilichimbia,” E Bwana, Bwana nilichimbia,
Aliwaambia -watumwa wawili,
Ni vema -Vema watumwa wema,
Ingieni -Ingieni rahani,
Mkafurahi -Mkafurahi daima.
[2]
Bwana Yesu huko Mbinguni
Atufanyia kazi njema.
Kama wewe hukufanya kazi.
Utaonyesha nini, kwake siku hiyo kila mtu
Mzigo wake mwenyewe
Bwana mmoja aliwapa
Watumwa wake talanta,
Bwana huyo kasafiri
Kwenda mbali, muda wa
Siku si nyingi Bwana
Huyo akarudi, akaja toa hesabu.
[chorus]
Wa kwanza nilimpa tano,
“Pokea tano Bwana tena.”
Wapili nilimpa mbili,
“Pokea mbili Bwana tena.”
Wa tatu nilimpa moja,
“Bwana, Bwana nilichimbia,” E Bwana, Bwana nilichimbia,
Aliwaambia -watumwa wawili,
Ni vema -Vema watumwa wema,
Ingieni -Ingieni rahani,
Mkafurahi -Mkafurahi daima.
[2]
Bwana Yesu huko Mbinguni
Atufanyia kazi njema.
Kama wewe hukufanya kazi.
Utaonyesha nini, kwake siku hiyo kila mtu
Mzigo wake mwenyewe
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.