Lyrics
Font size:
[1]
Baba, Mwana. Roho, Mungu Mwenye enzi
Kila tukiamka tunakuabudu
Baba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi
Ewe Utatu, tunakusifu
[2]
Baba, Mwana, Roho wakuaminio
Wanakutolea shukurani zao
Wakusujudia malaika nao
Wewe U mwanzo, nawe U mwisho
[3]
Baba, Mwana, Roho sisi tu gizani
Utukufu wako hauoni kosa
U Mtakatifu, nawe U mapenzi
U peke yako, mwenzio huna
[4]
Baba, Mwana, Roho, Mungu Mwenye enzi
Ulivyoviumba vyote vyakusifu
Baba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi
Ewe utatu, tunakusifu
Baba, Mwana. Roho, Mungu Mwenye enzi
Kila tukiamka tunakuabudu
Baba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi
Ewe Utatu, tunakusifu
[2]
Baba, Mwana, Roho wakuaminio
Wanakutolea shukurani zao
Wakusujudia malaika nao
Wewe U mwanzo, nawe U mwisho
[3]
Baba, Mwana, Roho sisi tu gizani
Utukufu wako hauoni kosa
U Mtakatifu, nawe U mapenzi
U peke yako, mwenzio huna
[4]
Baba, Mwana, Roho, Mungu Mwenye enzi
Ulivyoviumba vyote vyakusifu
Baba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi
Ewe utatu, tunakusifu
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.