Baba Mungu Nakushukuru

[1]
Baba Mungu nakushukuru
Baba Mungu nakushukuru
Nakupenda, nakusifu, nakusujudia
Baba Mungu nakushukuru

[2]
Mwana wa Mungu nakutukuza
Mwana wa Mungu nakutukuza
Ulinipa wokovu, uzima ninao
Mwana wa Mungu nakutukuza