Lyrics
Font size:
[1]
Awaye yote, kama anataka
Kufuatana nami,
Ajikane mwenyewe X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
[2]
Ni faida gani mtu kupata
Ulimwengu wote na mwisho apotee X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
[3]
Tutatoa nini kwa mwokozi Yesu,
Kama kazi zote kwa nafsi zetu X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
Awaye yote, kama anataka
Kufuatana nami,
Ajikane mwenyewe X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
[2]
Ni faida gani mtu kupata
Ulimwengu wote na mwisho apotee X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
[3]
Tutatoa nini kwa mwokozi Yesu,
Kama kazi zote kwa nafsi zetu X2
[chorus]
Yesu anasema, na tukajitwike
Msalaba wetu ndipo tukamfuate X2
(Kwa kuwa mtu atakaye)
Kuokoa nafsi (yake)
Ataipoteza (bali)
Kwa ajili ya Yesu ataiokoa
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.