Lyrics
Font size:
[1]
Ninaleta neno jema la uzima
Maneno yenye kuokoa
Kwamba Yesu alifia wenye dhambi
Angalia Bwana Yesu Kristo
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
[2]
Ninaleta neno jema la uzima.
Maneno yenye kuokoa Kwamba
Yesu alifia wenye dhambi
Angalia Bwana Yesu Kristo
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
[3]
Unawezaje kuishi siku hiyo.
Watu watakapohukumiwa.
Usimkatae Mwokozi Yesu Kristo
Anakupenda sana
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
Ninaleta neno jema la uzima
Maneno yenye kuokoa
Kwamba Yesu alifia wenye dhambi
Angalia Bwana Yesu Kristo
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
[2]
Ninaleta neno jema la uzima.
Maneno yenye kuokoa Kwamba
Yesu alifia wenye dhambi
Angalia Bwana Yesu Kristo
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
[3]
Unawezaje kuishi siku hiyo.
Watu watakapohukumiwa.
Usimkatae Mwokozi Yesu Kristo
Anakupenda sana
[Chorus]
Angalia Bwana anatuokoa zote
Nao wanaomwamini wanapona
Angalia Bwana Yesu Kristo
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.