Lyrics
Font size:
[1]
Ameniita mwokozi wa upendo
Ameniita nikamtumikie
Kwa furaha nitamtumikia
Siku moja atanipumzisha
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
[2]
Kazi yake mwokozi wa upendo
Nitafanya mpaka siku ya mwisho
Watu wote wapate kuokoka
Watapata uzima wa milele
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
[3]
Bwana wangu nitamtumikia
Kila siku nitamtumikia
Mpaka watu wapate kuishika
Nitafanya juhudi waishike
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
Ameniita mwokozi wa upendo
Ameniita nikamtumikie
Kwa furaha nitamtumikia
Siku moja atanipumzisha
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
[2]
Kazi yake mwokozi wa upendo
Nitafanya mpaka siku ya mwisho
Watu wote wapate kuokoka
Watapata uzima wa milele
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
[3]
Bwana wangu nitamtumikia
Kila siku nitamtumikia
Mpaka watu wapate kuishika
Nitafanya juhudi waishike
[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.