Ameniita Mwokozi

Language: Swahili
Nyimbo Za Umoja

Ameniita Mwokozi

[1]
Ameniita mwokozi wa upendo
Ameniita nikamtumikie
Kwa furaha nitamtumikia
Siku moja atanipumzisha

[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha

[2]
Kazi yake mwokozi wa upendo
Nitafanya mpaka siku ya mwisho
Watu wote wapate kuokoka
Watapata uzima wa milele

[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha

[3]
Bwana wangu nitamtumikia
Kila siku nitamtumikia
Mpaka watu wapate kuishika
Nitafanya juhudi waishike

[chorus]
Nifuraha kwa Bwana wangu
Atanipumzisha
Baada ya kazi duniani
Atanipumzisha
Nitapata uzima wa milele
Bwana Yesu atanipumzisha