Amani Naiweka Nyumba Kwa Bwana Yangu

[1]
Amani naiweka nyumba kwa Bwana yangu
Bwana akiwepo na mwenye kupenda Amani
Nitakuwa naye daima kwa Mungu
Baba milele na milele

[Chorus]
Mwokozi Yesu tunakuomba tupe Roho
Mtakatifu, tukumbuke vyote tulivyo
Navyo ni mall yake Bwana Haleluya
Asifiwe Bwana Mungu.

[2]
Tunapoambiwa habari ya imani yake
Tujinyenyekeze kwa Mungu Baba Mwenyezi
Nakuweka yote mikononi mwake na halafu atusamehe

[Chorus]
Mwokozi Yesu tunakuomba tupe Roho
Mtakatifu, tukumbuke vyote tulivyo
Navyo ni mall yake Bwana Haleluya
Asifiwe Bwana Mungu.

[3]
Tujue upendo unatungojea kwake
Tukafike mbinguni kwenye imani kweli
Tusipoteze muda tumfuateni Mungu
Kwa Iile asemalo

[Chorus]
Mwokozi Yesu tunakuomba tupe Roho
Mtakatifu, tukumbuke vyote tulivyo
Navyo ni mall yake Bwana Haleluya
Asifiwe Bwana Mungu.