Song Lyrics

Umenibeba

Songs On Request · Multilingual
Present

Lyrics

Font size:
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Hakuna kitu nzuri
Kama kuweka imani ndani ya Mungu
Hakuna jambo nzuri
Kama kuweka imani ndani ya Mungu

Yeye hajui dissapointment
Yeye haelewi kuvunja moyo
Kumtegemea huepusha mambo mengi
Kumtumainia kunasaidia

Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza
Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza

Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee