Lyrics
Font size:
[1]
Amin, amin, nawaambia, ninawaambia
Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
[2]
Mwana wa Adamu aenda zake, ilivyoandikwa
Ole ni wake mtu yule, amsalitiye
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
[3]
Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho
Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
[4]
Amini, amini na kutubu, enyi mataifa
Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
Amin, amin, nawaambia, ninawaambia
Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
[2]
Mwana wa Adamu aenda zake, ilivyoandikwa
Ole ni wake mtu yule, amsalitiye
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
[3]
Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho
Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho
Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2
[4]
Amini, amini na kutubu, enyi mataifa
Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana
Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.