Song Lyrics

Amin Amin Nawaambia

Songs On Request · Multilingual
Present

Lyrics

Font size:
[1]
Amin, amin, nawaambia, ninawaambia
Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti

Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2

[2]
Mwana wa Adamu aenda zake, ilivyoandikwa
Ole ni wake mtu yule, amsalitiye

Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2

[3]
Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho
Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho

Nitampiga mchungaji wa kondoo oo
Na kondoo wa kundi lake watatawanyika x2

[4]
Amini, amini na kutubu, enyi mataifa
Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana

Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana
Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa x2

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee