Lyrics
Font size:
[1]
Karibu na wewe, Mungu wangu; Karibu zaidi, Bwana Wangu.
Siku zote niwe karibu na wewe, Karibu zaidi, Mungu wangu.
[2]
Mimi nasafiri duniani, Pa kupumzika sipaoni,
Nilalapo niwe karibu na wewe, Karibu zaidi, Mungu wangu.
[3]
Yote unipayo yanivuta; Pa kukaribia nitapata;
Na nielekezwe karibu na wewe; Karibu zaidi, Mungu wangu.
[4]
Na kwa nguvu zangu nikusifu, Mwamba, uwe maji ya wokovu;
Mashakani niwe, karibu na wewe, Karibu zaid, Mungu wangu.
[5]
Na nyumbani mwa juu, Baba yangu; Nikinyakuliwa toka huko,
Kwa furaha niwe pamoja na wewe, Karibu zaidi Mungu wangu.
15[2]
Karibu na wewe, Mungu wangu; Karibu zaidi, Bwana Wangu.
Siku zote niwe karibu na wewe, Karibu zaidi, Mungu wangu.
[2]
Mimi nasafiri duniani, Pa kupumzika sipaoni,
Nilalapo niwe karibu na wewe, Karibu zaidi, Mungu wangu.
[3]
Yote unipayo yanivuta; Pa kukaribia nitapata;
Na nielekezwe karibu na wewe; Karibu zaidi, Mungu wangu.
[4]
Na kwa nguvu zangu nikusifu, Mwamba, uwe maji ya wokovu;
Mashakani niwe, karibu na wewe, Karibu zaid, Mungu wangu.
[5]
Na nyumbani mwa juu, Baba yangu; Nikinyakuliwa toka huko,
Kwa furaha niwe pamoja na wewe, Karibu zaidi Mungu wangu.
15[2]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.