Lyrics
Font size:
[1]
Ikumbuke kote Sabato ya Bwana,
Siku tamu na bora, kupita nyingine;
Yatuletea raha, na furaha kweli,
Mwanga wake hungaza, urembo wa Yesu.
Chorus
Karibie, karibie, Sabato tamu;
Karibie, Yesu pia, Bwana wa raha.
[2]
Itakase kweli, ukamsifu leo,
Yeye aliye sema ‘Mimi ndiye njia‘;
Nasi tukimfuata mkombozi hapa.
Atatunywesha tele maji ya uzima.
[3]
Siku ya nderemo! Tupishe wakati,
Tukimwimbia Yesu Rafiki Mpendwa;
Mponya wetu leo, U mwema ajabu!
Ukae kwetu, Bwana, moyoni daima.
08[4]
Ikumbuke kote Sabato ya Bwana,
Siku tamu na bora, kupita nyingine;
Yatuletea raha, na furaha kweli,
Mwanga wake hungaza, urembo wa Yesu.
Chorus
Karibie, karibie, Sabato tamu;
Karibie, Yesu pia, Bwana wa raha.
[2]
Itakase kweli, ukamsifu leo,
Yeye aliye sema ‘Mimi ndiye njia‘;
Nasi tukimfuata mkombozi hapa.
Atatunywesha tele maji ya uzima.
[3]
Siku ya nderemo! Tupishe wakati,
Tukimwimbia Yesu Rafiki Mpendwa;
Mponya wetu leo, U mwema ajabu!
Ukae kwetu, Bwana, moyoni daima.
08[4]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.