HATUJUI SAA

Song Lyrics

HATUJUI SAA

Nyimbo Za Kikristo · Swahili
Present

Lyrics

Font size:
[1]
Hatujui sa-a ya kuja kwa Bwana,
Lakini dalili zasema karibu,
Atakaporudi, -lakini kwa kweli,
Hatujui sa-a.

Chorus
Atakuja, kwa vile tukeshe;
Atakuja Mwokozi, Aleluya!
Atakuja kwa fahari ya Baba yake,
-Hatujui saa.

[2]
Pana nuru kwao wapendao haki,
Pana kweli katika Chuo Cha Mungu;
Unabii hufundisha kuja kwake,
-Hatujui saa.

[3]
Tutakesha tutaomba daima,
Tutafanya kazi mpaka akija;
Tutaimba na tutasoma ishara,
-Hatujui saa.

17[3]

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee