HAPANA GIZA

Song Lyrics

HAPANA GIZA

Nyimbo Za Kikristo · Swahili
Present

Lyrics

Font size:
[1]
Mchana hauishi Mjini mzuri;
Mji hautapita; Na hapana giza.

Chorus
Machozi yatafutwa, Kifo hapana pale;
Hawahesabu siku, Na hapana giza.

[2]
Milango ni ya lulu, Mjini mzuri;
Dhahabu njia zake; Na hapana giza.

[3]
Milango haifungwi Mjini mzuri;
Mto ni wa uzima Na hapana giza.

[4]
Hawahitaji jua Mjini mzuri,
Mwana Kondoo nuru; Na hapana giza.

18[2]

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee