Lyrics
Font size:
[1]
Mchana hauishi Mjini mzuri;
Mji hautapita; Na hapana giza.
Chorus
Machozi yatafutwa, Kifo hapana pale;
Hawahesabu siku, Na hapana giza.
[2]
Milango ni ya lulu, Mjini mzuri;
Dhahabu njia zake; Na hapana giza.
[3]
Milango haifungwi Mjini mzuri;
Mto ni wa uzima Na hapana giza.
[4]
Hawahitaji jua Mjini mzuri,
Mwana Kondoo nuru; Na hapana giza.
18[2]
Mchana hauishi Mjini mzuri;
Mji hautapita; Na hapana giza.
Chorus
Machozi yatafutwa, Kifo hapana pale;
Hawahesabu siku, Na hapana giza.
[2]
Milango ni ya lulu, Mjini mzuri;
Dhahabu njia zake; Na hapana giza.
[3]
Milango haifungwi Mjini mzuri;
Mto ni wa uzima Na hapana giza.
[4]
Hawahitaji jua Mjini mzuri,
Mwana Kondoo nuru; Na hapana giza.
18[2]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.