Lyrics
Font size:
[1]
Je! Mkinzi ukutani
Wa mji wa Zayuni,
Habari zake usiku?
Asubuhi karibu?
Kuna dalili za kupambazuka?
Kuna dalili za kupambazuka?
[2]
Katika safari yetu
Twaona nchi kavu?
Tutalala baharini?
Bandari bado mbali?
Kweli, kweli tutaona ufalme?
Kweli, kweli tutaona ufalme?
[3]
Tunaona nuru yake
Nyota ya asubuhi;
Nyota, tukufu na safi
Inang`aa mbinguni;
Furahini, wokovu u karibu.
Furahini, wokovu u karibu.
[4]
Tumetazama ramani,
Kweli pwani si mbali;
Twende mbele, kwa upesi
Tutaona bandari;
Furahini, imbeni nyimbo zenu,
Furahini, imbeni nyimbo zenu.
07[7]
Je! Mkinzi ukutani
Wa mji wa Zayuni,
Habari zake usiku?
Asubuhi karibu?
Kuna dalili za kupambazuka?
Kuna dalili za kupambazuka?
[2]
Katika safari yetu
Twaona nchi kavu?
Tutalala baharini?
Bandari bado mbali?
Kweli, kweli tutaona ufalme?
Kweli, kweli tutaona ufalme?
[3]
Tunaona nuru yake
Nyota ya asubuhi;
Nyota, tukufu na safi
Inang`aa mbinguni;
Furahini, wokovu u karibu.
Furahini, wokovu u karibu.
[4]
Tumetazama ramani,
Kweli pwani si mbali;
Twende mbele, kwa upesi
Tutaona bandari;
Furahini, imbeni nyimbo zenu,
Furahini, imbeni nyimbo zenu.
07[7]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.