Lyrics
Font size:
[1]
Furaha kwa ulimwengu, Bwana atakuja!
Kila moyo umpokee, Viumbe imbeni,
Viumbe imbeni, Viumbe vyote imbeni.
[2]
Na Bwana atatawala: Watu na waimbe;
Mit, milima na mawe Kariri furaha,
Kariri furaha, Kariri furaha kubwa.
[3]
Atatawala kwa wema; Atawafundisha
Mataifa haki yake, Ajabu za pendo,
Ajabu za pendo, Ajabu za pendo lake.
16[6]
Furaha kwa ulimwengu, Bwana atakuja!
Kila moyo umpokee, Viumbe imbeni,
Viumbe imbeni, Viumbe vyote imbeni.
[2]
Na Bwana atatawala: Watu na waimbe;
Mit, milima na mawe Kariri furaha,
Kariri furaha, Kariri furaha kubwa.
[3]
Atatawala kwa wema; Atawafundisha
Mataifa haki yake, Ajabu za pendo,
Ajabu za pendo, Ajabu za pendo lake.
16[6]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.