Lyrics
Font size:
[1]
Fanyeni kazi zenu, usiku si mbali;
Kesheni saa zenu vumilieni;
Kwa Yesu tumikeni na hiyo injili.
Sana wahubirini watu wa mbali.
[2]
Fanyeni kazi zenu, giza yasongea;
Nawengi wenzi wenu wamo gizani.
Msipoteze moja dakika ni hizi:
Bwana atarejea mwisho wa kazi.
[3]
Fanyeni kazi zenu, hivi jua lachwa;
Wote walio kwenu apenda Mungu:
Na sisi tumjuaye tuwafundishe
Ili Yesu ajaye tumfurahishe.
05[9]
Fanyeni kazi zenu, usiku si mbali;
Kesheni saa zenu vumilieni;
Kwa Yesu tumikeni na hiyo injili.
Sana wahubirini watu wa mbali.
[2]
Fanyeni kazi zenu, giza yasongea;
Nawengi wenzi wenu wamo gizani.
Msipoteze moja dakika ni hizi:
Bwana atarejea mwisho wa kazi.
[3]
Fanyeni kazi zenu, hivi jua lachwa;
Wote walio kwenu apenda Mungu:
Na sisi tumjuaye tuwafundishe
Ili Yesu ajaye tumfurahishe.
05[9]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.