Lyrics
Font size:
[1]
Nakaza mwendo mbinguni, kila siku napanda juu;
Naomba nikisafiri, ‘Bwana uniongoze juu.‘
Chorus
Bwana uniinue juu Kwa imani hata mbingu.
Juu kuliko dunia; Bwana uniongoze juu.
[2]
Moyo wangu hautaki Kukaa palipo shaka;
Wengine wapenda chini Nia yangu ni kupanda.
[3]
Nataka kupanda juu Nisishindwe na adui;
Kwa imani nasikia Sauti ya washindaji.
[4]
Kupanda juu nataka Niuone utukufu;
Hata mwisho nitaomba, ‘Bwana uniongoze juu.‘
07[3]
Nakaza mwendo mbinguni, kila siku napanda juu;
Naomba nikisafiri, ‘Bwana uniongoze juu.‘
Chorus
Bwana uniinue juu Kwa imani hata mbingu.
Juu kuliko dunia; Bwana uniongoze juu.
[2]
Moyo wangu hautaki Kukaa palipo shaka;
Wengine wapenda chini Nia yangu ni kupanda.
[3]
Nataka kupanda juu Nisishindwe na adui;
Kwa imani nasikia Sauti ya washindaji.
[4]
Kupanda juu nataka Niuone utukufu;
Hata mwisho nitaomba, ‘Bwana uniongoze juu.‘
07[3]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.