Lyrics
Font size:
[1]
Damu imebubujika, Ni ya Imanweli,
Wakioga wenye taka, Husafiwa kweli.
[2]
Ilimpa kushukuru Mwivi mautini;
Nami nisiye udhuru, Yanisafi ndani.
[3]
Kondo-o wa kuuawa, Damu ina nguvu,
Wako wote kuokoa Kwa utimilivu.
[4]
Bwana, tangu damu yako Kunisafi kale,
Nimeimba sifa zako, `taimba milele.
[5]
Bwana, umenikirimu Nisiyestahili
Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli.
[6]
Nikubali kukwimbia Mbinguni milele.
Mungu nitamsifia Jina lako pweke.
11[3]
Damu imebubujika, Ni ya Imanweli,
Wakioga wenye taka, Husafiwa kweli.
[2]
Ilimpa kushukuru Mwivi mautini;
Nami nisiye udhuru, Yanisafi ndani.
[3]
Kondo-o wa kuuawa, Damu ina nguvu,
Wako wote kuokoa Kwa utimilivu.
[4]
Bwana, tangu damu yako Kunisafi kale,
Nimeimba sifa zako, `taimba milele.
[5]
Bwana, umenikirimu Nisiyestahili
Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli.
[6]
Nikubali kukwimbia Mbinguni milele.
Mungu nitamsifia Jina lako pweke.
11[3]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.