Lyrics
Font size:
[1]
Baba yetu aliye mbinguni,
Amenifurahisha yakini.
Kuniaambia mwake Chuoni,
Ya kuwa name Yesu pendoni.
Chorus
Anipenda Mwokozi Yesu,
Anipenda, Anipenda;
Anipenda Mwokozi Yesu,
Anipenda mimi.
[2]
Nimuachapo kutanga mbali,
Yeye yu vivyo, hupenda kweli:
Hunirejea kwake moyoni,
Kweli yu name Yesu pendoni.
[3]
Anipenda! Nami ninampenda,
Kwa wokovu alionitenda;
Alinifilia msalabani,
Kwa kuwa name Yesu pendoni.
200
Baba yetu aliye mbinguni,
Amenifurahisha yakini.
Kuniaambia mwake Chuoni,
Ya kuwa name Yesu pendoni.
Chorus
Anipenda Mwokozi Yesu,
Anipenda, Anipenda;
Anipenda Mwokozi Yesu,
Anipenda mimi.
[2]
Nimuachapo kutanga mbali,
Yeye yu vivyo, hupenda kweli:
Hunirejea kwake moyoni,
Kweli yu name Yesu pendoni.
[3]
Anipenda! Nami ninampenda,
Kwa wokovu alionitenda;
Alinifilia msalabani,
Kwa kuwa name Yesu pendoni.
200
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.