Lyrics
Font size:
[1]
Bwana asubuhi kucha nitakuinua
Sauti yangu kuomba, nipate baraka.
[2]
Nakuomba roho yako niongozwe nayo;
Nifanye yanipasayo, na mapenzi yako.
[3]
Wanaokutegemea, U Mlinzi wao;
Matumaini wanayo, utayatimiza.
[4]
Na kwa wingi wa fadhili, Nyumbani mwako juu
Nitaingia na wimbo, Pale kusujudu.
08[9]
Bwana asubuhi kucha nitakuinua
Sauti yangu kuomba, nipate baraka.
[2]
Nakuomba roho yako niongozwe nayo;
Nifanye yanipasayo, na mapenzi yako.
[3]
Wanaokutegemea, U Mlinzi wao;
Matumaini wanayo, utayatimiza.
[4]
Na kwa wingi wa fadhili, Nyumbani mwako juu
Nitaingia na wimbo, Pale kusujudu.
08[9]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.