Lyrics
Font size:
[1]
Anipenda ni kweli: Mungu anena hili;
Sisi wake watoto kutulinda si zito.
Chorus
Yesu Mwokozi ananipenda;
Kweli hupenda, Mungu amesema.
[2]
Kwa kupenda akafa niokoke na kufa:
Atazisafi taka sana ataniweka.
[3]
Anipenda kabisa; niuguapo sasa,
Anitunza mbinguni niliyelala chini.
[4]
Kunipenda haachi tu sote hapa chini,
Baada ya mashaka kwake tanipeleka
19[7]
Anipenda ni kweli: Mungu anena hili;
Sisi wake watoto kutulinda si zito.
Chorus
Yesu Mwokozi ananipenda;
Kweli hupenda, Mungu amesema.
[2]
Kwa kupenda akafa niokoke na kufa:
Atazisafi taka sana ataniweka.
[3]
Anipenda kabisa; niuguapo sasa,
Anitunza mbinguni niliyelala chini.
[4]
Kunipenda haachi tu sote hapa chini,
Baada ya mashaka kwake tanipeleka
19[7]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.