ANIPENDA NI KWELI

[1]
Anipenda ni kweli: Mungu anena hili;
Sisi wake watoto kutulinda si zito.

Chorus
Yesu Mwokozi ananipenda;
Kweli hupenda, Mungu amesema.

[2]
Kwa kupenda akafa niokoke na kufa:
Atazisafi taka sana ataniweka.

[3]
Anipenda kabisa; niuguapo sasa,
Anitunza mbinguni niliyelala chini.

[4]
Kunipenda haachi tu sote hapa chini,
Baada ya mashaka kwake tanipeleka

19[7]