Lyrics
Font size:
Niumbie moyo safi,
Niumbie moyo mpya,
Moyo wa kunyenyekea,
Na kubondeka mbele zako
Nisikilize Yahweh
Daudi akasema:
Roho mtakatifu
(hakuna kama wewe)
Roho wake baba
(hakuna kama wewe)
Roho wa uweza
(ni nani kama wewe)
Roho wake Baba
hakuna kama wewe,
hakuna Mungu, kama wewe
hakuna kama wewe,
hakuna Mungu, kama wewe
Niumbie moyo mpya,
Moyo wa kunyenyekea,
Na kubondeka mbele zako
Nisikilize Yahweh
Daudi akasema:
Roho mtakatifu
(hakuna kama wewe)
Roho wake baba
(hakuna kama wewe)
Roho wa uweza
(ni nani kama wewe)
Roho wake Baba
hakuna kama wewe,
hakuna Mungu, kama wewe
hakuna kama wewe,
hakuna Mungu, kama wewe
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.