Lyrics
Font size:
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi
_Ninajua ni kwake Bwana_
Anilindaye halali
Ninajua hasinzii
Nitokapo niingiapo
Kweli najua ninajua yuko nami
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Yeye ni Bwana wa mabwana
Yeye Mfalme wa wafalme
Mshauri wa ajabu
Kimbilio maishani
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi
_Ninajua ni kwake Bwana_
Anilindaye halali
Ninajua hasinzii
Nitokapo niingiapo
Kweli najua ninajua yuko nami
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Yeye ni Bwana wa mabwana
Yeye Mfalme wa wafalme
Mshauri wa ajabu
Kimbilio maishani
Nitainua macho yangu
Nitazame milimani
Msaada yangu watoka wapi?
Ninajua ni kwake Bwana
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.