Song Lyrics

Nafsi Yangu Yakungoja Bwana

Present

Lyrics

Font size:
Nafsi yangu, yakungoja Bwana
Kuliko walinzi, wangojavyo asubuhi

Naam kuliko walinzi
Wangojavyo asubuhi
Nafsi yangu yakungoja

Wale wote, wamngojao Bwana
Watafanywa upya, nguvu zao maishani

Naam kuliko walinzi
Wangojavyo asubuhi
Nafsi yangu yakungoja

Wamngojao Mungu wao
Watafanywa upya
Nguvu zao maishani
Wale wote

Ewe dada, ukimngoja Bwana
Utafanywa upya
Nguvu zako maishani

Naam kuliko walinzi
Wangojavyo asubuhi
Nafsi yangu yakungoja

Wale wote wangojao Bwana
Watafanywa upya, nguvu zao maishani

Wale wote wangojao Bwana
Watafanywa upya, nguvu zao maishani

Naam kuliko walinzi
Wangojavyo asubuhi
Nafsi yangu yakungoja

Naam kuliko walinzi
Wangojavyo asubuhi
Nafsi yangu yakungoja

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee