Lyrics
Font size:
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe x2
Nikitazama nyuma na mbele
Naona ukuu wako
Kaskazini, kusini pia
naona ukuu wako
Magharibi nako mashariki pia
Naona ukuu wako
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Hakuna mkamilifu katika wanadamu
Zaidi ya ewe Mungu wangu
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri
Kuwa wewe ni Mungu pekee
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Umenipigania vita vikali
Ambavyo mimi singeweza pekee yangu
Maadui waliniandama
Lakini ukawatawanya kwa njia saba
Usifiwe, uabudiwe
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe x2
Nikitazama nyuma na mbele
Naona ukuu wako
Kaskazini, kusini pia
naona ukuu wako
Magharibi nako mashariki pia
Naona ukuu wako
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Hakuna mkamilifu katika wanadamu
Zaidi ya ewe Mungu wangu
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri
Kuwa wewe ni Mungu pekee
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Umenipigania vita vikali
Ambavyo mimi singeweza pekee yangu
Maadui waliniandama
Lakini ukawatawanya kwa njia saba
Usifiwe, uabudiwe
Zaidi ya yote
Utabaki kuwa Mungu mkuu
Alfa na Omega
Hubadiliki kamwe
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.