Lyrics
Font size:
[1]
Bwana ni mchungaji wangu,
Sitapungukiwa kitu
Hun’laza penye majani mabichi,
Huniongoza kwa maji matulivu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[2]
Hunihuisha nafsi yangu,
Hun’ongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti,
Sitaogopa wewe u nami
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[3]
Gongo lako na fimbo yako,
Vitanifariji mimi
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
Bwana ni mchungaji wangu,
Sitapungukiwa kitu
Hun’laza penye majani mabichi,
Huniongoza kwa maji matulivu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[2]
Hunihuisha nafsi yangu,
Hun’ongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti,
Sitaogopa wewe u nami
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[3]
Gongo lako na fimbo yako,
Vitanifariji mimi
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.