Song Lyrics

Baba Nyoosha Mkono Wako

Present

Lyrics

Font size:
Baba wa mbinguni nyosha mkono wako
watu wako waune, wakishauona
walisifu jina lako

Baba wa mbinguni nyosha mkono wako
watu wako waune, wakishauona
walisifu jina lako

Mungu wetu wa mbinguni nyosha mkono wako
watu wako waune, wakishauona
walisifu jina lako

Tunakuinua
Baba wa mayatima nyosha mkono wako
watu wako waune, wakishauona
walisifu jina lako

Tunanyenyekea
Mungu wetu wa mbinguni nyosha mkono wako
watu wako waune, walisifu
walisifu jina lako

Tunakuhitaji
Mungu wetu wa mbinguni nyosha mkono wako
watu wako waune, walisifu
walisifu jina lako
Ni wewe twakuinua
Tunakuheshimu

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee