Lyrics
Font size:
Macho yangu, nayainua,
Nibadilishe, Unibariki,
baraka zako, haina huzuni,
nizakudumu milele amina
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
ukabadilisha, Yakobo jina ukamwita,
isreael maana yake, kubarikiwa
nami naomba kubarikiwa nawe.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Ninapokutazama utanininua,
Ninapokutazama utanibariki,
Ninapokutazama sitaogopa kamwe,
Sitoki hapa bila uguso wako.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Ukinigusa nimebarikiwa,
Uguso wako, ni baraka kwangu,
ulimgusa Batholomayo akaona,
Ndipo nasema, nataka uguso wako.
Sitoki hapa usinibariki.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Nibadilishe, Unibariki,
baraka zako, haina huzuni,
nizakudumu milele amina
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
ukabadilisha, Yakobo jina ukamwita,
isreael maana yake, kubarikiwa
nami naomba kubarikiwa nawe.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Ninapokutazama utanininua,
Ninapokutazama utanibariki,
Ninapokutazama sitaogopa kamwe,
Sitoki hapa bila uguso wako.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Ukinigusa nimebarikiwa,
Uguso wako, ni baraka kwangu,
ulimgusa Batholomayo akaona,
Ndipo nasema, nataka uguso wako.
Sitoki hapa usinibariki.
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Baba naomba, kubarikiwa nawe,
sitoki hapa usiponibariki
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.