Song Lyrics

Ananijali

Present

Lyrics

Font size:
Nimeomba,
Tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
Bali sijapata, majibu yangu kuyaona

Adui shetani muongo
Asema yakwamba mwenyezi Mungu, yeye hanijali bali
Siwezi, sitomkubali
Ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema

Ni za dunia
Zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima

Kwani ulisema yote yamekwisha
Sitababaishwa, ninajua yatapita
Kwani, baada ya usiku giza
Ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee