Lyrics
Font size:
Nimeomba,
Tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
Bali sijapata, majibu yangu kuyaona
Adui shetani muongo
Asema yakwamba mwenyezi Mungu, yeye hanijali bali
Siwezi, sitomkubali
Ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua
Ananijali (x2)
Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema
Ni za dunia
Zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima
Kwani ulisema yote yamekwisha
Sitababaishwa, ninajua yatapita
Kwani, baada ya usiku giza
Ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani
Ananijali (x2)
Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema
Tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
Bali sijapata, majibu yangu kuyaona
Adui shetani muongo
Asema yakwamba mwenyezi Mungu, yeye hanijali bali
Siwezi, sitomkubali
Ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua
Ananijali (x2)
Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema
Ni za dunia
Zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima
Kwani ulisema yote yamekwisha
Sitababaishwa, ninajua yatapita
Kwani, baada ya usiku giza
Ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani
Ananijali (x2)
Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.